Saturday, September 18, 2010

MAGAUNI YA UKWELI...


Wanawake watatu wa kinaijeria wamevaa nguo ya aina moja iliyotengenezwa na Lisa lebo yake inaitwa 'Jewel'...ona hayo maduara yalivyokatwa katwa..na mfano wa dhahabu iliyo kwenye kiuno,na shingoni kumezungushiwa dhahabu,chagua mmoja wao unayeona amependeza zaidi...

No comments:

Post a Comment